HABARI

JOAO CANCELO ATOA SABABU YA KUONDOKA ETIHAD

Beki wa ureno mwite Joao Cancelo amesema alishindwa kukataa ofa ya mkopo kuondoka Etihad na kujiunga na Bayern Munich kwa kile anachotaja kwamba mkufunzi wake Pep Guardiola wa Manchester City alimnyima muda zaidi wa kucheza klabuni hapo jambo ambalo lilikuwa linahatarisha kushuka kiwango chake. kwa sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 anachezea Baeyrn […]

JOAO CANCELO ATOA SABABU YA KUONDOKA ETIHAD Read More »

KLABU YA GUSII UNITED YAPEWA ALAMA KISA WENYEJI WAKOSA KUWEKA MAZINGIRA SALAMA

Klabu ya Gusii United ndio klabu ya hivi punde zaidi kupewa alama tatu na mabao mawili katika mechi ya National Super League baada ya kuwasilisha gari la ambulensi lililokosa vifaa vya kutosha kuweka mazingira kamili ya kiafya kwa wachezaji. Haya yanajiri siku chache baada ya tukio kama hilo kutokea kwa klabu ya daraja la kwanza

KLABU YA GUSII UNITED YAPEWA ALAMA KISA WENYEJI WAKOSA KUWEKA MAZINGIRA SALAMA Read More »

SHEKHUNA ABBAS ASEMA KUNA HAJA YA KUWA NA MUDA MAALUMU WA MABOTI NA PIKIPIKI KUHUDUMU KISIWANI LAMU

Mwakilishi wa wadi ya Mkomani kaunti ya Lamu Shekhuna Abbas amesema kuna haja ya kuwa na muda maalumu wa maboti na pikipiki kuhudumu nyakati za usiku kisiwani Amu kwa sababu za kiusalama. Abbas amesema iwapo Maboti na pikipiki hizo zitapigwa marufuku kuhudumu nyakati za usiku itakuwa bora zaidi ili kudhibiti visa ya ukosefu wa usalama

SHEKHUNA ABBAS ASEMA KUNA HAJA YA KUWA NA MUDA MAALUMU WA MABOTI NA PIKIPIKI KUHUDUMU KISIWANI LAMU Read More »