KESI 67 ZA MAAFISA WA POLISI KUWADHULUMU WAKENYA ZIMENAKILIWA KANDA YA PWANI
Mkurugenzi wa mamlaka ya kutathmini utendakazi wa polisi nchini IPOA kabda ya pwani Hussein Aden amethibitisha kupokea jumla ya kesi 467 kote nchini za malalamishi kutoka kwa wakenya yanayohusiana na maafisa wa polisi tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2023. Kulingana na Hussein kati ya kesi hizo, kesi 67 zimenakiliwa kanda ya pwani na kuwataka […]
KESI 67 ZA MAAFISA WA POLISI KUWADHULUMU WAKENYA ZIMENAKILIWA KANDA YA PWANI Read More »



