WAZIRI WA USALAMA NCHINI KITHURE KINDIKI AZURU KAUNTI YA KILIFI
Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amesema idadi kubwa ya wanafunzi kanda ya pwani ambao wanapaswa kujiunga na kidato cha kwanza wangali nyumbani. Akizungumza akiwa Gotani eneo bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi, Kithure amesema wanafunzi hao wanapaswa kujiunga na shule za upili ili kuendeleza masomo yao. Kufuatia hilo sasa amewaagiza Manaibu wa Makamishna […]
WAZIRI WA USALAMA NCHINI KITHURE KINDIKI AZURU KAUNTI YA KILIFI Read More »



