HABARI

GAVANA WA KAUNTI YA KILIFI GEDION MUNG’ARO ASEMA WANAPANIA KUONGEZA MGAO WA FEDHA ZA BASARI

Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Maitha Mung’aro amesema wanapania kuongeza mgao wa fedha za basari kwa wanafunzi ili kuwawezesha wale ambao walipata alama za juu wanajiunga na shule za upili kwa wakati ufaao. Amesema serikali ya kaunti ya Kilifi inapania kutenga kima cha shilingi bilioni moja ili kufanikisha hilo. Awali serikali ya kaunti ya […]

GAVANA WA KAUNTI YA KILIFI GEDION MUNG’ARO ASEMA WANAPANIA KUONGEZA MGAO WA FEDHA ZA BASARI Read More »

MWEKEZAJI ANAYECHIMBA MADINI ENEO LA KISHUSHE AMEAHIDI KULIPA WENYE ARDHI FEDHA ZAO

Waziri wa madini na uchumi wa raslimali za baharini nchini Salim Mvurya amesema mwekezaji ambaye anachimba madini katika eneo la Kishushe, Wundanyi kaunti ya Taita Taveta ameahidi kulipa wenyeji jumla ya shilingi milioni 30 ambazo amekuwa akidaiwa na wenye ardhi kwa zaidi ya miaka 3. Mvurya ameitaja kama hatua ambayo inaridhisha kwani awali juhudi za

MWEKEZAJI ANAYECHIMBA MADINI ENEO LA KISHUSHE AMEAHIDI KULIPA WENYE ARDHI FEDHA ZAO Read More »

WITO WA KUWEPO KWA MABARAZA YA SOKA WATOLEWA

Wito umetolewa kwa viongozi wa michezo katika kaunti za pwani kuungana na kushinikiza wanasiasa waliochaguliwa ili kutimiza ahadi zao. Ferdinand Mwambire ambaye ni mkufunzi wa soka katika kaunti ya kilifi anasema ni wakati sasa viongozi wa soka katika mkoa mzima wa pwani kuja pamoja na kuanzisha mikakati ya kushinikiza viongozi walioko mahakamani kutimiza ahadi nyingi

WITO WA KUWEPO KWA MABARAZA YA SOKA WATOLEWA Read More »