WADAU WA SOKA LA MALINDI WALALAMA MAREFA HAWASHIRIKISHWI
Wadau wa soka la kaunti ya Kilifi wanalalama kuhusu kutohusishwa kwa marefa wa kaunti hii katika mechi za daraja la pili kitaifa kwenye mechi zinazochezwa katika kaunti ya Kilifi tofauti na zile zinazochezwa katika kaunti nyingine. Akizungumza na tama la spoti jioni ya leo mkufunzi Nero Chishenga anasema kwamba uongozi wa soka la daraja la […]
WADAU WA SOKA LA MALINDI WALALAMA MAREFA HAWASHIRIKISHWI Read More »



