WITO UMETOLEWA KWA HAKI NA USAWA KUTEKELEZWA KATIKA ZOEZI LA KUWAFIDIA WAVUVI KAUNTI YA LAMU.
Gavana wa kaunti ya Lamu Abdalah Issa Timamy, amesema kuwa sharti shughuli za kuwalipa fidia wavuvi katika kaunti ya Lamu litekelezwe kwa haki na uwazi. Gavana huyo amesema wanafahamu kuwa wapo baadhi ya watu ambao sio wavuvi na tayari wameorodheshwa kupokea fedha hizo kutoka kwa serikali jambo ambalo amesema sio sahihi. Akizungumza na wakaazi wa […]



