HABARI

ROSTAM AZIZI ATOA WITO KWA SERIKALI ZA AFRIKA MASHARIKI KUIMARISHA UWIANO

Mwekezaji na pia mmiliki wa Gesi kutoka taifa la Tanzania Rostam Aziz ametoa wito kwa serikali za kanda ya Afrika Mashariki kuimarisha uwiano miongoni mwa raia wake ili kuboresha masuala ya biashara. Kwa mujibu wa Aziz, serikali za mataifa yaliyowanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefeli katika kuboresha mazingira bora ya kibiashara licha ya kuwa […]

ROSTAM AZIZI ATOA WITO KWA SERIKALI ZA AFRIKA MASHARIKI KUIMARISHA UWIANO Read More »

WADAU MBALI MBALI ENEO LA MALINDI KAUNTI YA KILIFI WASHIRIKIANA KATIKA ZOEZI LA UPANZI WA MITI.

Kama njia mojawapo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia inchi katika eneo hili la Malindi na kaunti ya Kilifi kwa jumla, wadau mbali mbali wa kimazingira kaunti ya Kilifi, wameendeleza shughuli za upanzi na utunzi wa miti katika bustani ya Buthwani water front Park. Kulingana na mwanzilishi wa mpango wa upanzi wa miti milioni moja

WADAU MBALI MBALI ENEO LA MALINDI KAUNTI YA KILIFI WASHIRIKIANA KATIKA ZOEZI LA UPANZI WA MITI. Read More »

ZAIDI YA WANAFUNZI MIA NANE WADI YA GANDA WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA BASARI KUTOKA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI.

Zaidi ya wanafunzi mia nane katika wadi ya Ganda eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi, wamenufaika na kima cha shilingi milioni 4.85, fedha za basari kutoka kwa serikali ya kaunti ya Kilifi. Kulingana na mwakilishi wadi hiyo Oscar Wanje, ni kuwa wanafunzi hao ni pamoja na wale wa shule za upili, vyuo vikuu pamoja

ZAIDI YA WANAFUNZI MIA NANE WADI YA GANDA WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA BASARI KUTOKA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI. Read More »