MOHAMED ALI ASEMA WATAENDELEZA MIKAKATI YA KUHARAMISHA SUALA LA MAPENZI YA JINSIA MOJA BUNGENI
Mbunge wa Nyali kaunti ya Mombasa Mohamed Ali amesema wataendeleza harakati za kuharamisha suala la mapenzi ya jinsia moja bungeni. Amesema tabia hizo zinakiuka maadili ya kidini pamoja na mila za kiafrika ambazo zinasukumwa na mataifa ya kigeni ili kuendelezwa nchini Kenya. Ali ambaye alikuwa akiwahutubia wenyeji wa eneo bunge lake la Nyali amesema ni […]



