HABARI

UHABA WA UDHAMINI WAFUNGIA VILABU VYA MASHINANI NJE

Uhaba wa ufadhili kwa vilabu vya soka vya mashinani unasalia kuwa saratani hali ambayo imepelekea kupungua kwa washiriki wa ligi ya eneo bunge la malindi kaunti ya Kilifi. Kulingana na mkufunzi wa kathama fc Kalume Kahindi ni kwamba shirikisho la soka la fkf kwenye msimu mpya utakaoanza rasmi wikendi ijayo kumesajiliwa vilabu 18 pekee na […]

UHABA WA UDHAMINI WAFUNGIA VILABU VYA MASHINANI NJE Read More »

MANDONGA KUREJEA KENYA KWA PAMBANO JINGINE

Bondia wa Tanzania Karim Mandonga maarufu kama Mtu Kazi ameratibiwa mechi ya marudio na bondia wa kenya Daniel Wanyonyi tarehe 18 mwezi Machi jijini Nairobi. Mandonga, alikuwa amepangwa kupambana dhidi ya bondia mwengine raia wa Kenya anayeishi Marekani Raymond “King Kong” Ochieng, ila anahitajika kupunguza uzani wa kilo 15 kabla ya pigano hilo, swala linaonekana

MANDONGA KUREJEA KENYA KWA PAMBANO JINGINE Read More »

KAUNTI YA KWALE IMESAJILI IDADI NDOGO YA WANAFUNZI AMBAO WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA

Mkurugenzi wa elimu kanda ya pwani Luka Kangogo amesema kaunti ya Kwale ni miongoni mwa kaunti za pwani ambazo hazijaafikia asilimia 100 ya watoto ambao wanapaswa kujiunga na kidato cha kwanza na wale wa Sekondari msingi. Akizungumza katika kaunti ya Kwale Kangogo amesema wazara ya elimu imeanzisha harakati za kuhakikisha wanafunzi wote katika viwango hivyo

KAUNTI YA KWALE IMESAJILI IDADI NDOGO YA WANAFUNZI AMBAO WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA Read More »