MATAYARISHO YA MASHINDANO YA BODABODA YANANOGA MALINDI
Muungano wa bodaboda mjini Malindi kaunti ya Kilifi unazidi unazidisha maandalizi ya mashindano ya soka yatakayofanyika siku ya jumamosi katika uwanja wa Alaskan. Ni mashindano ambayo yanalenga kuhamasisha wafanya biashara ya bodaboda kuhusu sheria za barabarani, usalama wao pamoja na kuwahamasisha kuhusu bishara hiyo ambayo imeajiri vijana wengi hapa nchini. Akizungumza na Tama la Spoti […]
MATAYARISHO YA MASHINDANO YA BODABODA YANANOGA MALINDI Read More »



