HATUPOTEZI MECHI TENA – BEACH BAY
Klabu ya Beach ina imani itazidi kuandikisha matokeo mazuri msimu huu baada ya kuzoa alama nne katika mechi mbili wikendi hii, tatu dhidi ya Kamtonga na moja dhidi ya Jr FC. Kulingana na Clara Kadzo ambaye ni afisa wa klabu hiyo ni kuwa uchovu ndio sababu iliyowafanya kutovuna alama zote wikendi katika mechi hizo mbili […]
HATUPOTEZI MECHI TENA – BEACH BAY Read More »



