HABARI

MICHEZO YAENDELEA VIZURI KENYA – ABABU NAMWAMBA

Waziri wa michezo hapa nchini Kenya Ababu Namwamba amesema kuwa  anaimani mwaka huu utakuwa na ufanisi mkubwa katika michezo sawa na ilivyokuwa mwaka jana ambapo mashindano pamoja na wachezaji waliwakilisha na kushinda matuzo mbalimbali. Amesema kwa kipindi cha mwaka jana pekee serikali iliwekeza milioni 900 katika michezo tofauti ya miaka ya nyuma ambapo michezo ilikuwa […]

MICHEZO YAENDELEA VIZURI KENYA – ABABU NAMWAMBA Read More »

ROONEY AFUTWA

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Birmingham City Wayne Rooney amefutwa kazi rasmi na klabu hiyo kutokana na msururu wa matokeo duni katika ligi ya daraja la Championship msimu huu. Rooney amesajili ushindi mara mbili pekee katika mechi 15 alizowaongoza Birmingham City na kuipeleka klabu hiyo kutoka nafasi ya 6 alipoajiriwa hadi sasa nafasi ya 20

ROONEY AFUTWA Read More »