HAALAND AREJEA MAZOEZINI
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Norway na klabu ya Manchester City Erling Braut Haaland ni rasmi sasa amerejea katika mazoezi baada ya kuwepo nje tangia mwezi disemba tarehe 6 alipopata jeraha kwenye mechi kati ya Manchester City na Aston Villa. Hii ni dalili nzuri kwa mkufunzi Pep Guardiola ambaye analenga kuimarisha kikosi chake ili […]
HAALAND AREJEA MAZOEZINI Read More »



