SAMUEL TEMO KUJIUNGA NA MALINDI PROGRESSIVE ACADEMY
Huenda Temo Samuel, mchezaji wa zamani wa klabu ya Furunzi Fc akajiunga na klabu ya Malindi Progressive Academy pindi tu atakapoachana na Mombasa Elites klabu inayoshiriki katika ligi ya Kitaifa ya Super League. Nyota huyo amekuwa akisusia kujihusisha tena na klabu hiyo ya Mombasa kutokana na kile anachokitaja kuwa Mombasa Elites imeshindwa kutimiza makubaliano ikiwemo […]
SAMUEL TEMO KUJIUNGA NA MALINDI PROGRESSIVE ACADEMY Read More »



