HABARI

KOCHA ALIYEISHINDIA EPL LEICESTER CITY AMESTAFU

Mkufunzi wa zamani wa klabu ya Leicester City Claudio Ranieri amestafu rasmi soka baada ya kuhudumu kama mkufunzi katika vilabu kadhaa Ulaya kwa takriban miaka 30. Mkufunzi huyo anakumbukwa kwa kuisaidia Leicester City kupanda daraja hadi ligi kuu nchini Uingereza na kushinda kombe la EPL katika msimu wake wa kwanza. Ranieri kama mkufunzi katika soka

KOCHA ALIYEISHINDIA EPL LEICESTER CITY AMESTAFU Read More »