BANDARI YAIDHAMINI LIGI KWALE
Halmashauri ya Bandari za Kenya KPA imepiga jeki ligi ya Shirikisho la Soka nchini FKF tawi la Kaunti ya Kwale kwa kudhamini ligi ya Kaunti hiyo kwa misimu miwili 2023/2024 na 2024/2025 kwa kitita cha Shilingi milioni 18. Akizindua udhamini huo kwenye kikao na viongozi 32 wa vilabu vitakavyoshiriki ligi hiyo ambayo sasa inajulikana kama […]
BANDARI YAIDHAMINI LIGI KWALE Read More »



