SAMMY KARISA AJIUZULU SILVER BULLETS
Kocha Mkuu wa klabu ya Silver Bullets Sammy Karisa ametangaza rasmi kuwa ameachana na klabu hiyo inayoshiriki ligi ya daraja la pili kitaifa kutoka Vipingo Kilifi. Karisa amefungasha virago vyake na kujiondoa katika kipindi ambacho klabu hiyo imesalia na mechi nne pekee kumaliza msimu wa 2023/2024. Kati ya sababu ambazo zimemfanya Sammy kuondoka Silver Bullets […]
SAMMY KARISA AJIUZULU SILVER BULLETS Read More »



