HABARI

SERIKALI YA KITAIFA YA NUNUA CHANZO MILIONI 2.34 ZA BCG.

Wizara ya afya nchini imenunua dozi milioni 2.34 za chanjo ya BCG, inayo chanjwa watoto ili kuwalinda dhidi ya kupata maradhi ya kifua kikuu. Akithibitisha hilo mkurugenzi mkuu katika idara ya afya Dkt Patrick Amoth, amesema kuwa jumla ya chanjo elfu 234, zimesalia katika hifadhi ya kitaifa, ili kuhakikisha hakishuhudiwa uhaba wa chanjo hizo humu […]

SERIKALI YA KITAIFA YA NUNUA CHANZO MILIONI 2.34 ZA BCG. Read More »

TUME YA EACC YAAHIDI KUWAKABILI KISHERIA WAFISADI KWENYE IDARA YA MAHAKAMA NCHINI.

Tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC, imesema kuwa imeanzisha uchunguzi dhidi ya ufisadi unaodaiwa kuendelezwa na wafanyakazi wa tume ya idara ya mahakama JSC. Kwa mujibu wa EACC, hatua hiyo imetokana na suala la wakenya kulalamikia ongezeko la idadi ya wafanyakazi wa idara hiyo, ambao wamekuwa wakihusika kwenye visa vya ufisadi na

TUME YA EACC YAAHIDI KUWAKABILI KISHERIA WAFISADI KWENYE IDARA YA MAHAKAMA NCHINI. Read More »