HARAMBEE STARS YAPATA KOCHA MPYA
Mchezaji wa Zamani wa Afrika Kusini na Kimataifa Benni McCarthy, ametambulishwa Rasmi kama Mkufunzi wa Timu ya Taifa ya Soka ya Wanaume hapa Nchini Harambee Stars, katika sherehe ya Kipekee Iliyoandaliwa Na Shirikisho la Soka FKF Hapo Jana. McCarthy mwenye Umri wa Miaka Arubaini na Saba Alitia Saini mkataba wa Miaka miwili, na Majukumu yake […]
HARAMBEE STARS YAPATA KOCHA MPYA Read More »



