RAIS WILLIAM RUTO ASEMA SERIKALI HAITA RUDI KUTUMIA BIMA YA NHIF.
Rais William Ruto amewasuta baadhi ya viongozi na wakenya wanaopinga mfumo wa bima ya matibabu wa SHA huku akiwataja kuwa wafisadi waliochangia katika wizi wa fedha za umma, katika bima ya awali ya NHIF. Rais Ruto amepuuziluia mbali vilio vya wakenya, kuhusiana na changamoto za bima hiyo huku akisema serikali ya kitaifa, haita legeza msimamo […]
RAIS WILLIAM RUTO ASEMA SERIKALI HAITA RUDI KUTUMIA BIMA YA NHIF. Read More »



