Kitaifa

AFISI YA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI NANCY GATHUGHU ASEMA KUNA WAFANYAKAZI HEWA KATIKA BAADHI YA KAUNTI.

Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Nancy Gathungu, imefichua kuwa Kaunti nane nchini ziliajiri maelfu ya wafanyakazi bila kufuata sheria katika mwaka wa kifedha wa 2023/2024, Kulingana na ripoti hiyo, wafanyakazi hao waliajiriwa pasi na nafasi za ajira kutangazwa, kupitia vyombo vya habari wala hakuna mahojiano yaliyo fanywa ili kuwapiga msasa. Taarifa hiyo […]

AFISI YA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI NANCY GATHUGHU ASEMA KUNA WAFANYAKAZI HEWA KATIKA BAADHI YA KAUNTI. Read More »

VIONGOZI WA KIDINI WAONYWA DHIDI YA KUTUMIKA KISIASA ILI KUPINGA SERIKALI KUU.

Naibu kinara wa walio wengi kwenye bunge la kitaifa Owen Yaa Baya amewaonya viongozi wa kidini, dhidi ya kutumika kisiasa ili kukosoa serikali ya kitaifa. Kwa mujibu wa kiongozi huyo ambaye pia ni mbunge wa Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi, licha ya viongozi wa kidini kuwa na haki ya kukosoa serikali, wanapaswa kutekeleza wajibu huo

VIONGOZI WA KIDINI WAONYWA DHIDI YA KUTUMIKA KISIASA ILI KUPINGA SERIKALI KUU. Read More »

RAILA ODINGA AWEKA WAZI MAPUNGUFU YA SERIKALI YA KWENYE KWANZA.

Viongozi wa chama cha ODM, wanaendeleza maadhimisho ya miaka 20 tangia chama hicho kilipo anzishwa. Maadhimisho hayo ambayo yanaendelea katika kaunti ya Busia, yanatarajiwa kuweleta pamoja viongozi mbali mbali wa chama hicho na pamoja na wafuasi wao wanaotaka kufahamu uamuzi wa aliyekuwa kinara wa chama hicho Raila Odinga, baada ya kukosa kuchanguliwa kuwa mwenyekiti wa

RAILA ODINGA AWEKA WAZI MAPUNGUFU YA SERIKALI YA KWENYE KWANZA. Read More »