RAIS WILLIAM RUTO AWAKASHIFU WAPINZANI WAKE.
Rais William Ruto hii leo ameelekeza siasa zake katika eneo la Njukini, kwenye mpaka wa kaunti ya Taita Taveta na Kajiado wakati akielezea mikakati ya serikali, katika kuboresha shughuli za maendelo kwenye jamii. Katika hotuba yake kwa wananchi eneo hilo, Ruto amewasuta wapinzani wake, wanaoendeleza mipango ya kushirikiana ili kufanikisha ajenda ya kumbadua mamlakani kwenye […]
RAIS WILLIAM RUTO AWAKASHIFU WAPINZANI WAKE. Read More »



