WANANDOA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA DINI ILI KUEPUKA TALAKA.
Zaidi ya asilimia 23 ya ndoa elfu 15 za waumini wa dini ya kiislamu, zinazo fungishwa katika afisi ya Kadhi hapa nchini kenya, zimekuwa zikiishia kuvunjia na wanandoa kupeana talaka. Haya wa mujibu wa kadhi mkuu nchini Kenya, Shehe Athman Hussein Abdhulhalim, ambaye ameelezea kuwa na wasiwasi wa maisha ya kizazi cha siku za uosoni. […]
WANANDOA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA DINI ILI KUEPUKA TALAKA. Read More »



