RAIS WILLIAM RUTO ASISITIZA USAWA KWA WAKENYA WANAOTAFUTA HUDUMA ZA SERIKALI.
Rais William Ruto amewahakikishia wakenya kuwa serikali yake itatekeleza haki na usawa, katika kutoa huduma zake kwa wananchi pasi na ubaguzi. Rais ambaye amezungumza katika eneo la Eastleigh kule kaunti ya Nairobi mda mfupi uliopita, amesema kuwa sharti kila mkenya apewe huduma za serikali pasi na kuzingatia kabila lake ama tabaka. Kiongozi huyo amesema kuwa […]
RAIS WILLIAM RUTO ASISITIZA USAWA KWA WAKENYA WANAOTAFUTA HUDUMA ZA SERIKALI. Read More »



