VILABU VYALALAMIKIA MAONEVU
Vilabu vya kaunti ya Kilifi vinalalamikia maonevu kutoka kwa marefa wa daraja la pili wanaposhiriki mechi dhidi ya vilabu vya Mombasa. Kulingana na mkufunzi Peter Mole pamoja na mkufunzi wa klabu ya Inter Dabaso Coach Sammy ni kwamba vilabu vya Mombasa vinapendelewa sana na marefa. Wakufunzi wa vilabu hivyo vya Kilifi wanazidi kutoa wito kwa […]
VILABU VYALALAMIKIA MAONEVU Read More »



