Kitaifa

WAZIRI WA MICHEZO ASHAURI WACHEZAJI KUWEKEZA

Shirikisho la riadha nchini Kenya pamoja na wizara ya michezo linalenga kuanzisha mradi wa pensheni kwa wanariadha wa Kenya ili kuwakinga na njaa baada ya kustaafu. Kulingana na waziri Ababu ni kwamba wachezaji wa Kenya wanafaa kuwa makini na kuwekeza hela wanazoshika wakiwa bado wanacheza ili kutofedheheka na umaskini uzeeni. Ababu aliambia wanariadha na wachezaji

WAZIRI WA MICHEZO ASHAURI WACHEZAJI KUWEKEZA Read More »