Kitaifa

VIHIGA QUEENS WASHINDA MILIONI MOJA PEKEE BAADA YA KUPAMBANA LIGINI MIEZI TISA

Klabu ya Vihiga Queens ndio mabingwa wa ligi ya kinadada hapa nchini Kenya baada ya kuwa na kiwango kizuri sana msimu huu. katika mechi yao ya mwisho iliyochezwa wikendi hii malkia hao wa Vihiga walisajili ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Gaspo Women. Kabla ya ushindi huo Vihiga walikuwa wametangazwa mabingwa wa ligi hiyo kwani

VIHIGA QUEENS WASHINDA MILIONI MOJA PEKEE BAADA YA KUPAMBANA LIGINI MIEZI TISA Read More »