MKUFUNZI WA SPARKI YOUTH AWASUTA ‘WENYE VILABU’
Mkufunzi mkuu wa klabu ya Sparki Youth kutoka kaunti ya Mombasa ametoa wito kwa wakuu wa vilabu vya daraja la chini kuwa na subra na makocha wa vilabu vyao ili wawe na wakati mzuri wa kuunda vikosi. Akizungumza na Tama La Spoti kupitia njia ya simu mkufunzi Abdala amesema kwamba baadhi ya viongozi wanatamaa ya […]
MKUFUNZI WA SPARKI YOUTH AWASUTA ‘WENYE VILABU’ Read More »



