Kitaifa

YOUNG BULLS BADO ‘HAIRIDHISHI’ VIWANJANI

Klabu ya Young Bulls inayoongozwa na mkufunzi Ali Said Gaucho inazidi kuandikisha matokeo yasioridhisha hasa katika mechi za ugenini kulingana na mashabiki wao. Jana ilipiga sare ya bao 1-1 dhidi ya Zetech Titans katika uwanja wa Gems Cambrige jijini Nairobi. Kukosekana kwa matokeo mazuri katika klabu hiyo kunadhidirika hasa baada ya mshambuliaji wao matata Alex

YOUNG BULLS BADO ‘HAIRIDHISHI’ VIWANJANI Read More »

VUNJA REKODI TUKUPE MILIONI TANO – RUTO

Waziri wa michezo Ababu Namwamba ameeleza kufurahishwa kwake na jinsi serikali ya William Ruto inavyotuza wanamichezo wa Kenya baada ya kufanya vyema katika michezo ya kimataifa wakiwakilisha taifa hili. Ameyasema hayo baada ya rais William Ruto kuja na mpango uliomfanya Faith Kipyegon kutunukiwa nyumba ya milioni sita pamoja na kitita cha milioni pesa taslimu za

VUNJA REKODI TUKUPE MILIONI TANO – RUTO Read More »