UKOSEFU WA FEDHA WAUMIZA INTER DABASO
Klabu ya Kamtonga kutoka Taita Taveta, klabu inayoshiriki katika ligi ya daraja la pili kitaifa wikendi hii ilipewa alama tatu na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Klabu ya Inter Dabaso kukosa kuheshimu ratiba. Inter Dabaso kutoka watamu kaunti ya Kilifi, klabu inayoongozwa na mkufunzi Sammy Randu ililazimika kukosa mechi hiyo kutokana na changamoto ya […]
UKOSEFU WA FEDHA WAUMIZA INTER DABASO Read More »



