PAUL ODERA ASHAURI SERIKALI KUHUSU RAGA
Aliyekuwa mkufunzi wa timu ya taifa ya raga Paul Odera wa kikosi cha wachezaji 15 kila upande anasema kwamba timu ya taifa ya Kenya Shujaa ya wachezaji 7 kila upande ina uwezo wa kurudi katika raga za ngazi za juu licha ya kushushwa daraja mwezi Mei. Mkufunzi Odera ambaye alichezea timu ya taifa ya Kenya […]
PAUL ODERA ASHAURI SERIKALI KUHUSU RAGA Read More »



