Kitaifa

GOR MAHIA NDIO MABINGWA WA LIGI YA FKF, OMALA AKISHINDA KIATU CHA DHAHABU

  Klabu ya Gor Mahia ndio mabingwa wa ligi kuu ya fkf hapa nchini Kenya baada ya jana katika mtanangwe wa mwisho kusajili ushindim wa mabao 4-1 dhidi ya klabu ya Nairobi City Stars katika uwanja wa Moi Kasarani, jijini Nairobi. Kogalo walinyakua ubingwa wao wa 20 kwa utofauti wa alama moja dhidi ya Tusker […]

GOR MAHIA NDIO MABINGWA WA LIGI YA FKF, OMALA AKISHINDA KIATU CHA DHAHABU Read More »

MATHARE UNITED YAAGA MASHINDANO YA FKF MSIMU HUU, BINGWA AKITARAJIWA KUJULIKANA JUMAPILI

Klabu ya Mathare United katika ligi kuu ya Fkf imethibitika Kushuka daraja hadi National Super League kuelekea msimu ujao. Hii ni baada ya klabu hiyo kuandikisha matokeo duni msimu huu. Bingwa ligi ya Fkf msimu huu atabainika siku ya jumapili kutokana na Gor Mahia kupigwa na Homeboyz pamoja na Tusker kupiga sare na klabu ya

MATHARE UNITED YAAGA MASHINDANO YA FKF MSIMU HUU, BINGWA AKITARAJIWA KUJULIKANA JUMAPILI Read More »