Kitaifa

MARY NJOROGE KUWA KATI YA MAREFA WA MASHONDANO YA KOMBE LA DUNIA

Refa wa Kenya wa kike Mary Njoroge ni kati ya kikosi cha marefa kitakachotumika katika mashindano ya kombe la dunia la kinadada mwaka huu yatakayoanza rasmi mwezi huu wa Julai tarehe 20 mwaka huu 2023. Mashindano hayo yatakayodumu kwa kipindi cha mwezi mmoja yanaandaliwa na taifa la Australia pamoja na taifa la New Zealand. Mary

MARY NJOROGE KUWA KATI YA MAREFA WA MASHONDANO YA KOMBE LA DUNIA Read More »