DOUGLAS MUTUA APEWA KAZI YA UKOCHA NA BANDARI FC
Kiungo wa zamani wa timu ya taifa Haramber stars Douglas Mutua amesajiliwa rasmi kuwa mkufunzi mpya wa klabu ya Bandari fc yenye makazi yake Mbaraki Sports club Mombasa. Mutua sasa atakuwa anachukua mikoba ya uongozi wa klabu hiyo ya Mombasa kutoka kwa Muhiddin aliyekuwa anashikilia kwa muda. Wakati uo huo mkufunzi wa zamani wa Sofapaka […]
DOUGLAS MUTUA APEWA KAZI YA UKOCHA NA BANDARI FC Read More »



