Kitaifa

FAITH KIPYEGON APATA NYUMBA BAADA YA KUVUNJA REKODI

Rais wa Kenya William Samoei Ruto amempongeza mwanariadha Faith Kipyegon kwa kuandikisha rekodi ya kimataifa katika mbio za mita 1500 katika mashindano ya Florence Diamond League na baadaye kuvunga rekodi nyingine ya 5000 katika mashindano ya Paris Diamond League. ”Faith ni mkenya mwenye imani sana. Imani yake ilimfanya kushinda na kuandikisha rekodi za dunia. Nampongeza

FAITH KIPYEGON APATA NYUMBA BAADA YA KUVUNJA REKODI Read More »

CONGESTINA YUKO SAWA, ZARIKA AKIJIANDAA KWA MASHINDANO MWEZI JULAI

Gavana wa zamani wa kaunti ya Nairobi ambaye amekuwa mdhamini wa matibabu ya bondia mkongwe Conjestina Achieng amethibitisha kwamba bondia huyo amerejea hali yake ya sawa baada ya kipindi kirefu cha masaibu ya kiafya alipokuwa katika kaunti ya Siaya. Baada ya pigano la kirafiki dhidi ya bondia wenza Fatuma Zarika wikendi ilopita katika kaunti ya

CONGESTINA YUKO SAWA, ZARIKA AKIJIANDAA KWA MASHINDANO MWEZI JULAI Read More »