HATA YOUNG BULLS WAKIPANDA TUTAJIVUNIA, NI TIMU YA MALINDI PIA – BILL MWANGEMI
Mkufunzi wa klabu ya Malindi Progressive Bill Mwangemi anasema kwamba ako na matumaini makubwa kuwa klabu yake bado iko na nafasi ya kufuzu kupanda daraja na kushiriki katika ligi ya National Super League msimu ujao. Kulingana na mwangemi ni kwamba licha ya changamoto ya kukosa muendelezo wa matokeo bora msimu huu hasa baada ya wachezaji […]
HATA YOUNG BULLS WAKIPANDA TUTAJIVUNIA, NI TIMU YA MALINDI PIA – BILL MWANGEMI Read More »



