Kitaifa

RAIS RUTO ASEMA KENYA IMEPIGA HATUA KIMICHEZO

Rais William Samoei Ruto anasema kwamba Kenya imepiga hatua katika michezo baada ya miradi kadhaa kuzinduliwa ikiwemo Talanta Hela uliozinduliwa rasmi mwezi Juni mwaka huu. Akihotubia taifa jana katika sherehe za siku kuu ya Jamhuri  jijini Nairobi  Ruto alisema kuwa  wachezaji wa Kenya wanazidi kuipa sifa nchi hii kupitia juhudi zao viwanjani katika mashindano ya […]

RAIS RUTO ASEMA KENYA IMEPIGA HATUA KIMICHEZO Read More »

FAITH KIPYEGON APEWA HESHIMA YA EGH NA RAIS WILLIAM RUTO

Mwanariadha Faith Kipyegon ambaye  ameingia katika rekodi za dunia kuwa mwanariadha bora wa mwaka huu katika tuzo zilizofanyika jijini Monaco Ufaransa na kuwa mwanariadha wa kwanza wa kike kutoka hapa nchini kushinda tuzo hilo ameeleza kufurahishwa na matunda ya bidii alofanya mwaka huu katika mashindano mbalimbali. ”Kwa kweli nasikia furaha sana kwa umbali huu. Najivunia

FAITH KIPYEGON APEWA HESHIMA YA EGH NA RAIS WILLIAM RUTO Read More »

BILA CAF A HUONGOZI KLABU 2024/2025 – NICK MWENDWA

Rais wa shirikisho la soka hapa nchini Nick Mwendwa, amethibitisha kwamba kuelekea msimu ujao wa mwaka 2024/2025 makocha wote ambao watakuwa wanaongoza vilabu vinavyoshiriki katika ligi kuu ya fkf watafaa kuwa na cheti cha ukocha leseni ya CAF A. Amezungumza hayo kipindi ambacho FKF imekuwa ikifanya uhamasisho pamoja na mafunzo ya makocha kote nchini ili

BILA CAF A HUONGOZI KLABU 2024/2025 – NICK MWENDWA Read More »