RAIS RUTO ASEMA KENYA IMEPIGA HATUA KIMICHEZO
Rais William Samoei Ruto anasema kwamba Kenya imepiga hatua katika michezo baada ya miradi kadhaa kuzinduliwa ikiwemo Talanta Hela uliozinduliwa rasmi mwezi Juni mwaka huu. Akihotubia taifa jana katika sherehe za siku kuu ya Jamhuri jijini Nairobi Ruto alisema kuwa wachezaji wa Kenya wanazidi kuipa sifa nchi hii kupitia juhudi zao viwanjani katika mashindano ya […]
RAIS RUTO ASEMA KENYA IMEPIGA HATUA KIMICHEZO Read More »


