Kitaifa

COASTAL HEROES YAFANYA MAJARIBIO YA WACHEZAJI

Klabu inayoshiriki ligi ya National Super League kutoka ukanda wa pwani Coastal Heroes inajiandaa kufanya majaribio ya wachezaji kama njia moja ya kutafuta talanta za kukiongezea nguvu kikosi hicho kuelekea msimu ujao. Coastal Heroes yenye makazi yake katika kaunti ya Mombasa inaanza majaribio hayo hii leo kuanzia mwendo wa saa mbili katika uwanja wa Ronald […]

COASTAL HEROES YAFANYA MAJARIBIO YA WACHEZAJI Read More »