Kitaifa

MALINDI UNITED YAKATAZA WACHEZAJI KUSHIRIKI ”TOURNAMENTS ZA MTAANI”

Mkufunzi wa klabu ya Malindi United klabu inayoshiriki katika ligi ya kitaifa ya daraja la kwanza Elly Katana amepinga kujihusisha kwa wachezaji wake katika mashindano mbalimbali ambayo sio ya ligi ya FKF. Amesema kwamba klabu hiyo inayomilikiwa na mwakilishi wadi wa mji wa Malindi Rashid Odhiambo imeweka sheria za kuzuia wachezaji kujihusisha na mashindano kama

MALINDI UNITED YAKATAZA WACHEZAJI KUSHIRIKI ”TOURNAMENTS ZA MTAANI” Read More »