Kitaifa

BANDARI YOUTH YAMSIFU KAKA JABALI, VIPI JABALI NI WAKALA?

Alex Shikangwa ambaye ni mkufunzi mkuu wa klabu ya Bandari Youth ambao ni mabingwa wa mashindano ya Chapa Dimba katika mkoa huu wa pwani kwenye makala yaliyopita amemmiminia sifa mwandishi wa habari za michezo na mpiga picha maarufu katika kaunti ya Kilifi Kaka Jabali kuwa mdau anaysaidia vijana wengi katika gatuzi hilo sio tu katika

BANDARI YOUTH YAMSIFU KAKA JABALI, VIPI JABALI NI WAKALA? Read More »

DILI LA KAVOI LATIBUKA, ATASUBIRI MWISHO WA MSIMU

Dili la uhamisho linalohusisha Rafiki Kavoi mchezaji ambaye kwa sasa ni mali ya Malindi Progressive Academy kuelekea klabu ya Bandari Youth katika kaunti ya Mombasa litalazimika kusubiri hadi mwisho wa msimu pale ambapo mchezaji huyo ataweza kuhama kama mchezaji huyu baada ya jaribio la sasa kugonga mwaka kwa kile kinachotajwa kuwa uongozi wa klabu hiyo

DILI LA KAVOI LATIBUKA, ATASUBIRI MWISHO WA MSIMU Read More »