BIDCO UNITED YALALAMA
Mkufunzi wa klabu ya BIDCO Fc Athony Akhulia amelalamikia maamuzi mabaya ya refa wa katikati ya uwanja akitaja kuwa ndio chanzo cha wao kupoteza mchuano wao dhidi ya Bandari FC wiki hii kwa kichapo cha mabao 2-1. Ametishia kuwa silisha lalama zake kwa maafisa wa FKF kudadisiwa vyema akihoji kuwa kuna maonevu mengi katika ligi […]
BIDCO UNITED YALALAMA Read More »



