WACHEZAJI WAZOEFU HAWATAKI MECHI
Ukosefu wa wachezaji wenye uzoefu katika kikosi cha Junior FC inayoshiriki katika ligi ya daraja la pili ndio sababu kuu iliyopelekea klabu hiyo kutoka kaunti ya Taita Taveta kupigwa kichapo cha katika mechi mbili za ugenini wiknendi hii. Junior Fc wanaoshiriki ligi hiyo katika msimu wake wa kwanza ilishuhudia kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya […]
WACHEZAJI WAZOEFU HAWATAKI MECHI Read More »



