Kitaifa

MICHEZO YA SHULE ZA UPILI MKOANI PWANI KUANZA RASMI KESHO HOLA

Mashindano ya shule za upili katika hatua ya mkoa wa pwani yanatarajiwa kuaanza rasmi kesho katika kaunti ya Tana River kwenye shule ya msingi ya Hola na wala sio Oda kama ilivyokuwa kwenye taarifa ya awali. Kulingana na waandalizi wa mashindano hayo ni kuwa takriban zaidi ya wanafunzi 1500 wanatarajiwa kuwasili katika kaunti hiyo tayari

MICHEZO YA SHULE ZA UPILI MKOANI PWANI KUANZA RASMI KESHO HOLA Read More »