Kitaifa

ABABU NAMWAMBA ASHAWISHIWA KUWA NA UWAZI NA OLIMPIKI

Wito umetolewa kwa wizara ya michezo kuweka wazi  orodha ya wachezaji na wadau wote watakao kuwa safarini kuelekea Paris  Ufaransa mwezi huu ambako mashindano ya Olimpiki yatakuwa yanafanyika. Wito huo umetolewa na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya raga ya Kenya Dennis Ombachi ambaye pia ni mkereketwa wa masuala ya michezo humu nchini. […]

ABABU NAMWAMBA ASHAWISHIWA KUWA NA UWAZI NA OLIMPIKI Read More »

EMERGING STARS YAREJEA KENYA BAADA YA KUBANDULIWA COSAFA

Timu ya taifa ya soka ya Kenya ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 23, Emerging Stars wamerejea rasmi nchini baada ya kubanduliwa katika mashindano ya COSAFA yanayoendelea katika taifa la Afrika Kusini. Kenya ilimaliza katika nafasi ya pili katika Kundi B ikiwa na alama  sita, sawa na vinara Comoros waliokuwa na rekodi bora dhidi yao

EMERGING STARS YAREJEA KENYA BAADA YA KUBANDULIWA COSAFA Read More »