Kitaifa

MASHINDANO YA DOLA SUPER CUP KUANZA KILIFI

Mashindano ya Dola Super Cup yanatarajiwa kuanza rasmi katika kaunti ya kilifi katika kipindi cha takriban wiki moja ijayo na mechi ya kwzanza itachezwa katika uwanja wa chuo kikuu cha Pwani mjini kilifi. Kulingana na waandalizi wa mashindano hayo ni kuwa yanalenga kuvumbua talanta ambazo zitaangaziwa kwenda mbele huku maskauti wa timu mbalimbali ikiwemo klabu

MASHINDANO YA DOLA SUPER CUP KUANZA KILIFI Read More »