WANAMICHEZO WAKASHIFU UTEUZI WA MURKOMEN
Rais William Samoei Ruto ametangaza mapendekezo mapya ya baraza lake la mawaziri mchana wa leo na kati waliotajwa ni aluiyekuwa waziri wa barabara na uchukuzi Kipchumba Murkomen kuwa kwenye wizara ya sana, vijana na michezo akichukua mikoba kutoka kwa Ababu Namwamba aliyefutwa kazi siku chache zilizopita. Ruto huku akiashiria kuwa mapendekezo hayo mapya yakipelekwa bungeni […]
WANAMICHEZO WAKASHIFU UTEUZI WA MURKOMEN Read More »



