SS ASSAD MPAKA YOUNG BULLS? MWACHAUNGA AWINDWA
Klabu ya Young Bulls inayoshiriki ligi ya daraja la pili kitaifa inaripotiwa kuwa iko kwenye mazungumzo na kocha wa zamani wa klabu ya Ss Asad Ali Mwachaunga. Mwachaunga aliachana klabu ya SS Assad kabla ya kutamatika kwa msimu uliopita baada ya kukosa kuelewana baadhi ya viongozi na wachezaji wengine wa kikosi ndiposa akajiuzulu. Pale Young […]
SS ASSAD MPAKA YOUNG BULLS? MWACHAUNGA AWINDWA Read More »



