VIONGOZI WA SOKA MASHINANI WASHAURIWA KUHUSU TALANTA
Wito umetolewa kwa viongozi wa vilabu kuja mashinani na kutambua na kuchukua talanta za wachezaji na kuzitumia katika vikosi vyao. Ni kauli ambayo imetolewa na meneja wa mauzo katika kampuni ya Dola Sadddam Suleiman ambaye anasema mashindano yanayoendelea ya dola yamevutia watu wengi ambao ni pamoja na wale wanao kuja kusaka talanta. Amesema itakuwa busara […]
VIONGOZI WA SOKA MASHINANI WASHAURIWA KUHUSU TALANTA Read More »



