HUSSEIN MOHAMED ARUHUSIWA NA FKF
Shirikisho la soka fkf limemruhusu sasa Hussein Mohamed ambaye ni naibu mwenyekiti wa klabu ya Muranga Seal kuhudhuria kikao cha washikadau wa soka nchini kilichoratibiwa wikendi ijayo. Kulingana na taarifa ni kuwa Muranga seal imetuma waraka wa kuitaka fkf imkubali Hussein kuwa mwakilishi wa klabu hiyo ya ligi kuu nchini. Awali Fkf ilikuwa imemfungia Hussein […]
HUSSEIN MOHAMED ARUHUSIWA NA FKF Read More »



