HATUJAMPATA HUYO MDHAMINI ANAONGELELEWA -BEACH BAY FC
Aliyekuwa kocha wa klabu ya Beach Bay Peter Mole kutoka eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi amethibitisha kuwa suala la kupatikana kwa mudhamini ni tetesi ambazo zinaenea mitandaoni na kwa sasa hazina ukweli wowote. Amezungumza hayo baada ya kuenea kwa uvumi kuwa kuna bwenyenye aliyejitokeza kwa nia ya kuifadhili klabu hiyo ya daraja la […]
HATUJAMPATA HUYO MDHAMINI ANAONGELELEWA -BEACH BAY FC Read More »



