Kaunti

WACHEZAJI 39 WATEULIWAKUWAKILISHA KILIFI KATIKA MASHINDANO YA KYISA MWEZI APRILI

Wachezaji 39 kutoka mashinani mwa kaunti ya Kilifi wikendi hii walibahatika kupata nafasi ya kipekee kuteuliwa  kuingia katika kikosi kitakachowakilisha kaunti ya kilifi katika mashinando ya Kenya Youth Inter County Sports kwenye soka na mpira wa wavu yatakayofanyika kaunti ya Tharaka Nithi kuanzia tarehe 23 mwezi huu. Zoezi hilo lilifanyika katika uwanja wa Mac One […]

WACHEZAJI 39 WATEULIWAKUWAKILISHA KILIFI KATIKA MASHINDANO YA KYISA MWEZI APRILI Read More »

VILABU VYA MASHINANI VYAPEANA ‘WALK OVER’ SANA KISA UKOSEFU WA HELA

Klabu ya Deep Sea kutoka kaunti ya Lamu jana ilizawadiwa alama tatu na mabao 2-0 kutokana na wapinzani wao Inter Dabaso kutoka mji wa watatu kaunti ya kilifi kukosa kuheshimu ratiba. Hii inakuwa ni mechi ya tano katika kipindi cha mwezi mmoja kwenye ligi ya daraja la pili kitaifa vilabu vinakosa kuhesimu ratiba katika mechi

VILABU VYA MASHINANI VYAPEANA ‘WALK OVER’ SANA KISA UKOSEFU WA HELA Read More »