LIGI YA KAUNTI YA KILIFI ITAANZA KARIBUNI, ASEMA KATIBU
Ligi ya kaunti ya Kilifi licha ya kuchelewa kwake itaanza rasmi tarehe 22 mwezi april mwaka huu baada ya matayarisho ya muda mrefu yalochochezwa na uhaba wa hela kwa vilabu husika ambavyo vimechelewa kulipa ada ya kushiriki ligi hiyo. Kulingana na Japhet Kaingu ambayeni katibu mkuu wa soka la kaunti ya kilifi anasema kwamba takriban […]
LIGI YA KAUNTI YA KILIFI ITAANZA KARIBUNI, ASEMA KATIBU Read More »



